Bukobawadau

MAKAMUZI YA NGWASUMA CLUB LINAZ BUKOBA;Benny Mlokozi Asababisha,Wao wasema hawakujua kuwa BK Kumekucha Hivi!!!!!


a>
Wapenzi wa dansi wakiendelea kusebeneka
Wengine hivi wengine vile Juu ya Kushoto mie sijui ni nini kinacho na kulia ni Mdau Jamal Kalumuna (Jamco Production) .
Anaitwa Salima ukipenda (Mama Flenk)
Wadau Pichani ni Faridi Rugusha na Mdau wa Bakoba Ndg Eddy

Patcho akiwajibika kwa hisia kali
Ukisikia Ngwasuma basi hii ilikuwa Nomaaa!!!Wengine na Vichanga vinavyo Nyonya
Mkurugenzi wa Linaz Club Ndg Mtensa akijadili jambo na wadau wa Ngwasuma
Mwenezi wa Ngwasuma Mkoani Kagera Ndg Mgisha
Wadau Pichani ni Robart na Said wa Bunduki
Kama anahepa vile ni Mdau Hamis Goronga (kulia)
Mie Binafsi kiukweli namkubali sana Patcho hivyo msishangae kwa leo kila mda nipo naye
Dj Max picha ya pamoja na Nyosi Elsaadat
Mdau Mama Flenk akichukua matukio
UNCLE THOM NA MZEE WA PCI
Unaambiwa Mwanamke Nyonga
Dj Cool Mc akitupia vitu live yaani papo kwa papo kuzihilisha umakini na uhalisia wa habari,pembeni ni Nyoshi Elsaadat Rais wa Ngwasuma akishanga na kufurahia kujikuta hewani mda huo.Binafsi kama blogger nilijikubali
Next Post Previous Post
Bukobawadau