Bukobawadau

Mdau Erasmus George Rweyongeza Kabaijo'Misifa' akikamua Pande za Mwanza

Mdau Erasmus George
Mdau Rastaman Erick Mlinga katika harakati za kuwashika wateja ndani ya Misifa
Wadau mbalimbali wakijaribu kuchagua vitu vya kuwafaa.
kijana Erasy pande za jijini Mwanza,hakika kijana huyu anafanya kweli pia ni mbishi kitambo,anadai ni Makosa makubwa sana kufananisha Jiji na manispaa,shangaa mpaka kijana Erick nae katakataa,

Bukobawadau blogspot tunasema mnyamwezi fanya kazi
Hii ni juhudi binafusi kaka na ni mfano bora.
shukurani kubwa kwa Kaka Mkuu kwa ushirikiano
kutambua uwepo wetu hadi kutufikishia picha hizi
Next Post Previous Post
Bukobawadau