Bukobawadau

NIKICHANIZA PANDE ZA BUGANDIKA-MTUKURA NAVUTIWA NA OLD SCHOOL KABLA SIJAZUBAISHWA NA KANYUMBA FLANI PEMBENI!!!!

Nakutana na mazingira yanayo ashiria kufika panapotakiwa,navutiwa na nyumba ya kizani "OLD SCHOOL"
Hii ni kama (nyaluju)mdau Angelo Mtafungwa alipo zaliwa kijijini Bugadika.
Naanza kusogea kwenye Kanyumba haka kwa kutokea nyuma.
Nafanya hivi kwasababu nimeshuhudia na nimesikia maneno yawadau mtaani,huu ni upande wa kushoto nikitafuta kuelekea mbele.
Upande wa kulia kwa ubavu wangu
Katika mwendelezo na project bado inaendelea
Nikiwa mbele ya banda hili upande wa kushoto
Ndg mdau popote ulipo na popote unapoweza kusikia kilio chetu!!!
kufika kwangu Bugandika na kuchukua picha za jengo hili ni kazi lahisi sana
ila nimegundua umuhimu wa Camera kubwa ,Camera yenye uwezo wa kuvuta kitu kwa ukaribu,mfano kama Jengo hili ningelipata kwa picha mbili tu.
-Bukobawadau kilio chetu ni vitendea kazi ukizingatia libeneke hili tumeliendeleza mda wote huu kwa kujinyima,tunafanya kujitoa,ili watu mpate kile kinacho sitahili.
-Mtajisikiaje nikisema nafanya kazi hii kwa kutumia simu ya mkononi.
-Bukobawadau tunaitaji suport kubwa kutoka kwako wewe msomaji.
-Tumeomba sana ushirikiano wa kutuletea habari na matukio mbalimbali niwachache wenyekutoa ushirikiano.
-Tunaomba na bado tunazidi kuimiza utaratibu wa kutoa comment za moja kwa moja ili nasisi tupate dira na kujua ni kiasi gani mnatupokea au ni nini mitazamo yenu.
-Bukobawadau tunaomba matangazo ili tuweke usawa kwa kupanua wigo wa kujulikana wewe na biashara yako mdau na kutuezesha sisi kupata wepesi wa vochanamambo kama hayo.
CHONDECHONDE KAMA UNAGUSWA JARIBU KUWASILIANA NASI KUPITIA NAMBA ZETU AU EMAIL.

Nasogea kwa ukaribu zaidi niweze kuangalia ndani
Shikamaoo Ta Angelo Mtafungwa!!!
Mc yuleeeeeee anatufuta pakutokea!!!!!
Next Post Previous Post
Bukobawadau