Bukobawadau

MAR-KAZI KIHUMURO -IZIMBYA YAADHIMISHA UZAWA WA MTUME MOHAMMAD S.A.W

Huu ni Msikiti wa Mar-kazi ya Kihumuro mwonekano wa Nyuma.
Mwonekano wa Msikiti kwa mbele.
Kutoka kushoto ni Sheikh Twahiri wa Bujugo, Sheikh Haruna Abdalah Kichwabuta wa Bukoba mjini na Bukoba Vijijini,Sheikh Idrisa Sadaka wa Katoro,wa mwisho ni Sheikh  Ali Amour Kyabitala wa Maruku Makonge.
Wanafunzi wa Madarasa wakitumbuiza
Next Post Previous Post
Bukobawadau