KIBWAGIZO CHA LEO
Dokta: Samahani nina habari mbaya, na nyingine mbaya sana kwako
Mgonjwa: Dah! haya nieleze hizo habari mbaya .
Dokta: Majibu ya vipimo vyako yametoka. Inaonekana una masaa 24 tu ya kuishi.
Mgonjwa: MASAA 24 TU?!!!!, he sasa kuna baya zaidi ya hilo? Na hilo baya sana ni lipi?
Dokta: Nilikuwa nikupe hii habari jana, lakini tulikuwa kwenye mgomo.
'Weekend njema Ndg Wadau!!!'
![BUKOBAWADAU](http://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjEx7ujQnZ6o_gO1UM5mmHm2Ier6LFWfNl10YetoFec50JlKLMpaDI0u1UIZpt4fz9FZcxLu8_g9ZwV6UxCs_IzaYZek9-9sISUyGFVafKatZfZdycjrypIOYBFp1dku80/s113/icon.png)
BUKOBAWADAU
Bukoba Wadau ni mtandao unao toa habari na matukio yanayo tokea katika mji wa bukoba pamoja na mkoa wa kagera kwa ujumla.
Email:bukobawadau@gmail.com | Phone :Mc baraka:0784 505045, 0754 505043
Instagram @bukobawadau | Facebook @bukobawadau