Bukobawadau

AJALI JIONI YA LEO NA HAKUNA ALIYEJERUHIWA

Ajali hii imetoka jioni ya leo majira ya saa 12 ni kati ya gari aina ya Land Cruiser iliyokuwa imeegesha  pembeni mwa barabara kugongwa na gari aina ya Toyota Raum
Gari lililogongwa ubavuni na kujibamiza kwenye ukuta wa Mghahawa wa 888.
Wadau wakisaidia kuisogeza Raum pembeni.
Chezea Cruiser
Mwonekano wa tukio zima


Next Post Previous Post
Bukobawadau