Bukobawadau

HALMASHAURI YA MANISPAA BUKOBA INAWATANGAZIA WANANCHI UUZAJI WA VIWANJA 5,000 VILIVYOPIMWA..MAWASILIANO +255754 623938 Email :crwegasira2001@yahoo.com


Maeneo yaliyopimwa  viwanja na idadi ya viwanja vilivyopo


Na
Eneo/mahali
Idadi ya viwanja
[Makadirio]

1
Buhembe
1161
2
Kyasha
750
3
Mugeza
460
4
Rwazi
348
5
Rwome
202
6
Ijuganyondo
117
7
Ihungo
364
8
Makongo
216
9
Nshambya
296
10
Kagondo Kaluguru
504
11
Nyanga
505


(c)           Maelezo ya Fedha ya dhamana.

Na
Aina ya Mwombaji
Fedha ya dhamana kwa kila kiwanja
1
Mwombaji Binafsi
200,000.00
2
Taasisi kama Mashirika, Benki, Taasisi za dini, Shule, Mifuko ya Hifadhi ya jamii n.k
500,000.00

NB:         Kwa waombaji ambao wataomba viwanja zaidi ya tisa (kwa kutumia fomu Namba 2) watatakiwa kulipia fedha ya dhamana ya Tshs: 500,000.00 kwa kila kiwanja.

MAELEZO KWA WAOMBAJI.
1.     Uuzaji wa fomu za maombi  viwanja katika Manispaa ya Bukoba utaaza tarehe 23 Aprili 2012 hadi tarehe 22 Mei, 2012.
2.     Bei ya Kununua fomu hii ni Tsh. 10,000/= (Fomu zinapatikana Benki ya Posta – Tawi la Bukoba).
3.     Tafadhali rejesha fomu iliyojazwa vizuri katika Benki ya Posta – Tawi la Bukoba na utapewa fomu ya uthibitisho.
4.     Tafadhali jaza fomu  tofauti kwa kila kiwanja  (fomu Namba 1) ikiwa unaomba kati ya viwanja viwili hadi 9  (viwanja chini ya 10).
5.     Kama utapendelea kuomba viwanja vingi (kuanzia 10 na kuendelea),
               tafadhali tumia fomu namba 2 (inapatikana Benki ya Posta – Tawi la Bukoba).
6.     Ukubwa wa viwanja: (a) Ujazo mkubwa-High density (400-800) mita za eneo;  (b) Ujazo wa kati-Medium density (801 -1200) mita za eneo; na (c)  Ujazo mdogo-Low density (1201 - 4000) mita za eneo
7.     Dhamana itarejeshwa kupitia benki ya Posta ikitokea haujafanikiwa kupata kiwanja
8.     Kwa maelezo zaidi/ufafanuzi wa yote hapo juu, tafadhali wasiliana na ofisi ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Bukoba.

Next Post Previous Post
Bukobawadau