Bukobawadau

MBONI SHOW KUANZA KURUKA NDANI YA EATV MEI 31, 2012

 Mtangazaji wa Kipindi Kipya Mboni Show, Bi. Mboni Masimba kinachotarajiwa kuruka hivi karibuni katika sresheni ya EATV akiongea na waandishi wa habari juu ya kuanza kwa kipindi chake. Pembeni yake ni msimamizi wa kipindi hicho Bw. George Tyson na msimamizi wa vipindi vya EATV. Kipindi hichi cha Mboni Show  dhima yake ni kuburudisha, kuelimisha, kufundisha, uonya, uadhibu na kuelekeza jamii ya Watanzania inayokabiliwa na changamoto nyingi katika maisha ya kila siku. Na pia kipindi kinakusudia kuleta mapinduzi makubwa katika muendelezo wa vipindi vya mahojiano.
Meneja wa Vipindi kutoka EATV akizungumza katika uzinduzi huo wa kipindi cha Mboni Show kinachotarajiwa kuanza kuruka Mei 31 ndani ya EATV.
Msimamizi wa kipindi cha Mboni Show Bw. George Tyson akielezea ubora wa kipindi hicho.
Waaandishi wa habari wakifuatilia mkutano huo
 Waandishi wakiwa kazini.
 Mtangazaji wa Kipindi Kipya Mboni Show, Bi. Mboni Masimba akiteta jambo na msimamizi wa Vipindi wa EATV. 
Lakini pia anapenda muziki, mitindo na ni mjariamali anayemiliki kampuni yake binafsi iitwayo 'CHOCLATE PRINCES' ambayo inaendesha duka la mavazi, vipondozi na viatu vya kike lakini pia ndiyo waandaaji wa kipindi kipya cha luninga 'THE MBONI SHOW'. Picha zote na www.kajunason.blogspot.com
Next Post Previous Post
Bukobawadau