Bukobawadau

Senene wamiminika ile mbayaaaaaa!!!!!Bei ni fololo gharama kubwa ni kuwaandaa!!!!!!

Mdau muuza senene akiendelea kuchuhuza senene wake....



Kadanke akiwa mawindoni
Mawindoni kadanke akinyatia taratibu....!!
Wakiwa tayari wamemenywa
Barabara  ya Jamuhuri haipitiki kutokana na wingi wa watu.
Ni hali ya wadaub na biashara ya Senene.
Next Post Previous Post
Bukobawadau