Bukobawadau

KIKAO CHA KAMATI YA USHAURI YA MKOA (RCC) MKOANI KAGERA.

  • Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mh. Fabian Massawe akiwahutubia wanakamati wa kikao cha maendeleo mkoani kageraa.Mh. Massawe amesema wananchi wanakiu ya maendeleo sio siasa.
  • Kusifia  Manispaa ya Bukoba kuwa ya tatu kitaifa kwa usafi na kakubali Ombi la  manispaa ya Bukoba kuwa siku ya usafi ijulikane kama Massawe Day.
  • Katoa wimbo kwa kaya zote mkoani kagera kuendeleza kilimo cha umwagiliaji.
  • Kila mkuu wa Wilaya inabidi awe awe na shamba la mfano ili wananchi anao waongoza waige mfano.
  • Serikali imedhamilia kutoa mikopo mingi kwa wakulima ili kuendeleza kilimo kwanza hasa kwa kuwatumia vijana.

Wajumbe wakisikiliza kwa umakini.

 Mh. Meya Anathory Aman



INAENDELEA HIVI PUNDE....
Next Post Previous Post
Bukobawadau