WADAU WA MAZINGIRA NA UTALII(KAGERA ENVIRONMENTAL CARE)KATIKA SHUGHULI ZAO

Malengoyao ikiwa ni kuongeza uelewa na hamasa kuhusu hifadhi ya mazingira na matumizi endelevu ya rasilimali zeu,kutoa hamasa kwa wadau wa utalii kuhusu umuhimu wao kushiriki kikamilifu katika shughuli za kuhifadhi mazingira na huduma za kijamii.,kutoa elimu ya mazingira na matumizi endelevu ya rasilimali na kuhamasisha umma kuhusu utalii wa kijani(green eco-tourism)kama shughuli mbadala ya kujiongezea kipato tofauti na zile zinazo changia uharifu wa mazingira.
Miradi mbalimbali iliyoanzishwa na KEC ni pamoja na huu wa upandaji wa miti katika fukwe za ziwa victoria.
Mdau pichani ni Ndg Silvester Ndundulu ni mlinzi na mtunza mazingira.
Sehemu ya miti iliopandwa Mjini hapa.