Bukobawadau

HAPA NA PALE LEKA DUTIGIDE (KUTOKA PANDE ZA KIGOMA) WASANII WA KIGOMA ALL STARS WATEMBELEA KITUO CHA MAYATIMA KALINZI

Msanii Linux akitoa ufafanuzi wa jambo.
 Wasanii wakiwa sokoni kuhemea.
 Hapa ni katika kituo cha watoto yatima cha Kalinzi Kigoma
 Hivi ndivyo zilivyotufikia picha hizi anaonekana Mh. Zitto akitweet.!!!
 Msanii Rachel
 Hili ni pozi tu la msanii
Hands Up
Mwisho wa siku hii ni staili ya mizunguko ya hapa na pale ndani ya mji wa kigoma.
Next Post Previous Post
Bukobawadau