Bukobawadau

BUKOBA -MWANZA HII LEO

 Mchana wa leo Ijumaa pitapita za hapa na pale zikiendelea barabara ya Jamhuri
Kuelekea polisi makutano ya Barabara ya Jamhuri na Samuel Luangisa zamani barabara ya Migeyo kuelekea  Bukoba sekondari hali ni swali , kimzunguko waweza kuchungulia bank zilivyo kavu kuahoto ipo NMB na kulia ni NBC.
Napata safari kuelekea Jijini mwanza kwa shughuli maalumu.
Ndani ya pipa kuitafuta mwanza.
 Mdau Nasor Sued ,kijana mdogo mwenye mtazamo endelevu  hapa ni muda mchache baada ya kufika Mwanza.
Camera yetu pande za Mwanza Airport inakutana na Swahiba Al Amin akisubiri safari yake ya kurudi Bukoba.
 Mwanza  mwanza Inaendelea...
 Maeneo ya Kilumba la Kairo Hotel ndio sehemu sahihi nimeweza kupumzikia
 Camera yetu ikiangaza kwa ndani
Mzee beasy na kurasa

Taswira baadhi maeneo ya Jiji la Mwanza
Next Post Previous Post
Bukobawadau