Bukobawadau

IBADA YA JUMAPILI HII KATIKAA KANISA KATOLIKI MJINI KAHAMA

Asubuhi ya leo Jumapili  tarehe 11.11.2012 macho ya Camera yetu mjini kahama ni katika kanisa la katoliki
 Bango la kanisa katoliki Jimbo la kahama.
 Ujenzi ukiendelea pembeni mwa kanisa hili.
.Muonekano wa Jengo la kanisa kwa nyuma 
 Padre akiendelea na Ibada
 Mzee James Lugakingira mmoja wa waliohudhulia Ibada.
 Ibada ikiendelea kanisani
 Wapokeaji madhubutu kimatendo
Ni muda wa kutoa sadaka
  Kitendo kinacho endelea ni utoaji wa sadaka, ni matoleo yanayotolewa na mwanadamu kwa maana ya kumrudishia MUNGU wake kama anavyo onekana Mdau Mzee James pichani
Mtoa matangazo akiwatangazia mambo ya msingi waumini wa kikatoliko kanisani.



Baada ya Ibada Soster akielekea katika Ofisi ya Parokia.
Ni kanisa la muda mchache toka lijengwe yapata mwaka mmoja hivi.

Next Post Previous Post
Bukobawadau