CHINI YA UDHAMINI WA WINDHOEK NGWASUMA WAKAMUA NDANI YA EAST 24 BAR& GRILL
Wanamuziki wa Bendi ya FM Academia Wazee wa Ngwasuma,chini ya Uongozi
wake Prezidaa Nyoshi El Sadat (katikati) wakionyesha umahiri wao wa
kuyarudi magoma wakati wa Onyesho lao la kutambulisha nyimbo zao
mpya,lililofanyika usiku huu kwenye Kiota cha East 24,Mikocheni jijini Dar
es Salaam.FM Academia wameangusha show babkubwa kwa wapenzi na Mashabiki
wao walifika kwenye kiota hicho.Onyesho hili limedhaminiwa na Kampuni ya
Mabibo kupitia bia yake ya Windhoek
Katika anaonekana Kiongozi wa Bendi ya FM Academia,Prezidaa Nyoshi El Sadat akisebeneka sambamba na wenzake wakati wa onyesho hila kutambulisha nyimbo zao mpya.
Kalala Junior katika kuwajibika
Wanenguaji wa FM ACADEMIA wakisababisha ndani ya East 24 Bar& Grill chini ya udhamini mkubwa wa Windhoek Lager.
Bi Sauda mmoja wa wadau wa Kampuni ya Mabibo Beer wasambazaji wa kinywaji cha Windhoek
Prezidaa Nyoshi El Sadat (kulia) akionyesha umahiri wake katika uimbaji.
Katika anaonekana Kiongozi wa Bendi ya FM Academia,Prezidaa Nyoshi El Sadat akisebeneka sambamba na wenzake wakati wa onyesho hila kutambulisha nyimbo zao mpya.
Kalala Junior katika kuwajibika
Wanenguaji wa FM ACADEMIA wakisababisha ndani ya East 24 Bar& Grill chini ya udhamini mkubwa wa Windhoek Lager.
Bi Sauda mmoja wa wadau wa Kampuni ya Mabibo Beer wasambazaji wa kinywaji cha Windhoek
Prezidaa Nyoshi El Sadat (kulia) akionyesha umahiri wake katika uimbaji.