SHUGHULI YA MAZISHI YA MAREHEMU SARA SAID(MAMA SALIMA)JIONI YA LEO KAMACHUMU MULEBA
Mjini kamachumu jioni ya leo Camera yetu katika mazishi ya Marehemu Sada Said /Mama Salima aliyefariki usiku wa jana baada ya kuugua kwa siku tatu, Pichani anaonekana Mdau Chenche na Mdau Nurag wakihiriki katika mazishi hayo.
Mdau Chuchu naye ameshiriki katika shughuli hii ya mazishi.
Mdau Yunusu Kambuga pichani (kushoto) Hamim na Haji Komgunda wakielekea makaburini
Mjini Kamachumu, muonekano wa Msikiti wa Ijumaa.
Baadhi ya wadau wakisindikiza mwili wa Marehemu.
Mwili wa Marehemu Mama Salima ukipelekwa makaburini mara tu baada ya kusaliwa
Mwili wa Marehemu ukipelekwa katika makaburi ya Kamilabara/ Kanoni yaliopo hapa Kamachumu
Mamia ya watu wamejitokeza kwa kushiriki mazishi ya Marehemu Mama Salima wa Kamachumu
Mwalimu Abdallah King pichani
Mwili wa marehemu Sara Said/Mama s
Mdau Mody mtoto wa Marehemu Mama Salima akiwa katika hali ya simanzi.
Anaonekana Mdau Murshid Sadiki.
BUKOBAWADAU BLOG ;Tunatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki wote wa marehemu Sara Said/Mama Salima,wenyezi mungu amuondolee adhabu ya kaburi amsamehe madhambi yake amkupe kauli safi siku ya Kiama
Mdau Chuchu naye ameshiriki katika shughuli hii ya mazishi.
Mdau Yunusu Kambuga pichani (kushoto) Hamim na Haji Komgunda wakielekea makaburini
Mjini Kamachumu, muonekano wa Msikiti wa Ijumaa.
Baadhi ya wadau wakisindikiza mwili wa Marehemu.
Mwili wa Marehemu Mama Salima ukipelekwa makaburini mara tu baada ya kusaliwa
Mwili wa Marehemu ukipelekwa katika makaburi ya Kamilabara/ Kanoni yaliopo hapa Kamachumu
Mamia ya watu wamejitokeza kwa kushiriki mazishi ya Marehemu Mama Salima wa Kamachumu
Mwalimu Abdallah King pichani
Mwili wa marehemu Sara Said/Mama s
Mdau Mody mtoto wa Marehemu Mama Salima akiwa katika hali ya simanzi.
Anaonekana Mdau Murshid Sadiki.
BUKOBAWADAU BLOG ;Tunatoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki wote wa marehemu Sara Said/Mama Salima,wenyezi mungu amuondolee adhabu ya kaburi amsamehe madhambi yake amkupe kauli safi siku ya Kiama
Inna lilah waina lilah rajuun!!