Bukobawadau

BUKOBA YETU HII LEO

Katikati ya Mji wa Bukoba, habari kubwa ni Jimbo Katoliki Bukoba kumkaribisha  askofu mpya Askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Desderius Rwoma.
matukio kamili yanakufikia hivi punde kupitia bukobawadau  blog.

 Barabara  Jamhuri mapema ya leo
 Endelea kuwa na nasi kwa matukio zaidi ya kanisani
Mdau Kayondo Majid akiwa katika pitapita zake Jumapili ya leo

PATA HABARI ZA PAPO HAPO KUPITIA FACEBOOK PAGE YETU, PIA WAWEZA KUWASILIANA NASI KUPITIA VIBER 0784 505045,BBM PIN  234E5DD7,SIMU NO.0715 505043/0754 505043 Email bukobawadau@gmail.com
Next Post Previous Post
Bukobawadau