Bukobawadau

Pumzika kwa amani The Great Steven Kanumba.

Leo mwaka umepita tangu aliekuwa muigizaji nguli nchini, Steven Charles Kanumba atututoke. Kanumba atakumbukwa kama mmoja ya wasanii waliofanya tasnia ya filamu nchini izidi kukua na kupendwa hadi kuteka soko ambalo kwa kiasi kikubwa lilikuwa likishikiliwa na wasanii wa Nigeria. Aliondoka wakati bado hajayafaidi mafanikio na kushuhudia namna mapinduzi aliyofanya yalivyotengeneza ajira kwa vijana wengi.

Pumzika kwa amani The Great Steven Kanumba.

 Mama Kanumba akiweka shada lake la maua kwenye kaburi la mwanae
 Msanii Lulu akiweka shada la Maua.
 Sehemu ya matukio ya Waigizaji  kwenye kumbukumbu ya Marehemu Kanumba makaburini Kinondoni
 Lulu na mama yake mzazi wakiwa katika makaburi ya Kinondoni
Next Post Previous Post
Bukobawadau