Bukobawadau

Balozi Kamala ashiriki Mkutano wa Taasisi ya Uwekezaji nchini Ubelgiji

Balozi wa Tanzania BENELUX na Jumuiya ya Ulaya Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwasilisha mada kuhusu fursa za uwekezaji Tanzania kwa Wanachama wa Taasisi ya Uwekezaji ya Ubelgiji (FIT). Mkutano umeandaliwa na FIT kwa kushirikiana na Balozi za Tanzania na Kenya Brussels.


 Wanachama wa Taasisi ya Uwekezaji ya Ubelgiji (FIT) Wakimsikiliza Balozi. Dr. Diodorus Buberwa Kamala kuhusu fursa za Uwekezaji Tanzania.
Next Post Previous Post
Bukobawadau