Bukobawadau

SHANGWE ZA WEEKEND KWA WADAU WA MJI WA BUKOBA ,NYUMBANI KWA KAHABUKA PANDE ZA KIBETA

 Mpango mzima ulianza kwa maandalizi ya supu safi.

Bi Maua na kimini chake, anakuambia kimini na Mguu si kwamba wengine hawapendi kuvivaa.
Wadau wakimiminika sehemu ya tukio masikani kwa kahabuka.
Mdau khalim nae ndani
Mpango wa vinywaji si haba.

Ndg Siza na Mdau Samora







Hope kasimbazi wa Makoko kulia
Mji umevamiwa number less Kibao, kazi kwenu akina kanjibari..

Burudani ikiendelea

Mwanadada Maua Daftari wa Ramadhani na Bi Mgeni Idrisa.
Chezea msosi wewe, unaambiwa watu walimeza pilton mapema kwa ajili ya hamu zaidi
Anaonekana Mdau Rajab Paulin na Ndg Mwinyi





#Team Kanyawela tunawapa shavu watu ambao wanaweka kando majungu,fitna, uzandiki na migogoro isiyoisha,na kuleta upendo umoja na furaha kama alivyofanya Mdau Rackon Kahabuka.
Next Post Previous Post
Bukobawadau