Bukobawadau

PITA PITA, LEO IMEDONDOKEA BARABARA IENDAYO KYAKA MPAKA KARAGWE,BUKOBA WADAU TUMESHUHUDIA UJENZI MKUBWA UKIENDELEA WA BARABARA IELEKEAYO KARAGWE

Muonekano wa  barabara inayoelekea kyaka Mutukura mpaka Uganda
Kutoka Katoma kuitafuta mwanzo mhumu
 Barabara inayoelekea karagwe ikiwa  ujenzi unaendelea kama unavyojionea katika picha, kutokana na kiangazi vumbi ni kubwa mno

 Hapa ni maeneo ya Mwisa ujenzi mkubwa wa daraja  ukiendelea

 Kutokana na ujenzi huu, mdau huyu Bomoa bomoa inamuhusu
 Kambi kubwa ya wakandarasi wanaojenga barabara hii



 Ujenzi wa barabara ukiendelea
 Bango la shule ya Karagwe Sec na shule ya Msingi Karagwe



 Na hapa Bomoa Bomoa ilipita katika upanuzi wa barabara


 Ofisi za Chama
 Maeneo ya CRDB Bank tawi la Karagwe


Taswira mbalimbali barabara inayoelekea Karagwe
 Sehemu hii ni kivutio kikubwa kwa jinsi ilivyochongwa kuukwepa mlima huu

 Maeneo ya Kyaka
 Kivutio cha mto Kagera
BUKOBAWADAU BLOG TUNAKUANGAZIA BUKOBA
Next Post Previous Post
Bukobawadau