Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu
Tanzania (CHAWATA).Bi Shida Salun,na Mjumbe wa kamati Kuu ya chama cha
CHADEMA,aliyekuwa amelazwa chumba cha Wagonjwa wanaohitaji uangalizi
maalum (ICU),katika Hospitali ya AMI,Masaki jijini Dar,ameaga Dunia.
Zitto kupitia mtandao wa Twitter amearifu kuwa mama yake amefariki dunia leo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
POLENI SANA KAZI YA mngu haina makosa
Post a Comment