Bukobawadau

BALOZI KAMALA AMKABIDHI CHETI CHA UTAMBUZI BWANA SAITOTI

Balozi wa Tanzania Ubelgiji  ya Dr. Diodorus Buberwa Kamala (wa pili Kutoka kulia) akimkabidhi cheti cha utambuzi Bwana Saitoti kumshukuru kwa kazi nzuri anayofanya ya kutafuta fedha Ubelgiji ya kusaidia kupambana na Umaskini Handeni Tanzania. Bwana Saitoti ametafuta fedha za kusaidia kutekeleza miradi ya maji Handeni. Balozi Kamala amekabidhi cheti hicho leo Ubelgiji- Antiwerpen. Balozi Kamala amesema kila mwaka Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji utakuwa unatoa vyeti mbalimbali vya kutambua kazi nzuri zinazofanywa na Asasi Zisizo za Kiserika za kutafuta fedha ya kusaidia kutekeleza miradi mbalimbali Tanzania.
Next Post Previous Post
Bukobawadau