Bukobawadau

TUMIA BIDHAA ZA FOREVER LIVING KWA AFYA NA MUONEKANO MZURI WA NGOZI YAKO

Uko busy na kazi? Hupati chakula na virutubisho vya kutosha kutokana na shughuli nyingi za kazi? Wakati mwingne unajihici kuchka na mwili kutofanya kazi vizuri kutokan na kukosa chakula bora ? 
Tumia suluhisho chakula bora na lishe kwa ajil yako FOREVER LITE VANILLA Inawafaa sana watu wa maofisini na wenye shughuli nyingi,watoto ili kuwa na afya bora. 
Itakuwezesha kuupa mwili wako chakula kikamilifu, kina protein za carbohydrate kidogo ikichanganywa na maziwa na yasiyo na mafuta (skimmed milk).
Unaweza kutumia asubuhi na badala ya vyakula vyenye ngano ukareplace chapati, maandazi, na vitumbua. Unaweza kutumia mchana ukaacha kabisa kula vyakula visivyofaa junk food au jion kabla ya kulala Pia ikichaganywa na maziwa full cream inawasaidia watu wasio na muda wa kula wasio na hamu ya kula haswa wajawazito na watoto,wagonjwa nk.. Inaweza kuchangnywa ma juice ya matunda maziwa aimu asali HUTAPATA KWA SH 67000/= CALL OR WHTSAPP FOR UR ORDER +255655294473, +255713616109
CLEAN 9 ni nini na ina nini?? Ina mchanganyiko wa bidhaa nne (Alovera Gel chupa 3, Ultra Lite, Bee pollen na Garcinia. Pia ina tape measure pamoja na chupa ya kupimia) Ina kitabu cha muongozo wa jinsi ya kutumia. CLEAN 9 ni muhimu katika kupunguza mwili kwasababu inafanya kazi ya kusaidia mfumo wako wa mmeng'enyo wa chakula,kuondoa sumu mwilini,kuondoa mafuta yaliyozidi mwilini na kukupa mfumo bora wa ulaji chakula. 
Matumizi yake ni rahisi sana. Tumia bidhaa kwa usahihi kisha utahitaji kufanya mazoezi walau dakika 20 (kutembea,kuruka kamba,kukimbia au gym ukipenda), Kunywa maji ya kutosha angalau lita tatu kwa siku pungza au acha kabisa ulaji wa vyakula vyenye sukari,wanga na mafuta. Unatumia kwa siku tisa na itakusaidia kupungua kilo 3 mpaka 8 na kupungua zaidi utatumia Nutri lean ambayo ina bidhaa za mwezi mzima na una uwezo wa kupungua kilo 10 mpaka 15. Rahisi eeh??Call/whatsup to 0713616109, 0655294473 
 Je una kipara na ungependa kuota nywele? Kama ndio basi tatizo lako limekwisha tunazo bidhaa ambazo zitakusaidia kuota kwa nywele kwenye kipara tutafute kupitia + 255713616109, + 255655294473 kwa maelekezo zaidi
 FOREVER KIDS , ABSORBENT -C, FOREVER ALOE BITS N PEACHES: Hizi bidhaa husaidia Mtoto wako akue akiwa na afya njema,pia husaidia kumpa Mtoto wako hamu ya kula na kumuongezea kinga ya mwili zidi ya maradhi tuwasiliane kupitia + 255713616109, + 255655294473 kwa maelezo zaidi.
 BODY TONING KIT ni bidhaa inayosaidia mzunguko wa damu uendevizuri kwenye ngozi na hivyo kuondoa mafuta ya cellulite inayokaa chini ya ngozi kwenye mapaja, mkono na tumbo. Hivyo husaidia kupunguza manyama zembe, na kitambi kwa maelezo zaidi tutafute kupitia namba zifuatazo +255713616109, +255655294473
 Je unasumbuliwa na vidonda vya tumbo, Na ungependa tatizo lako kwisha, tumia bidhaa zetu kwa matokeo sahihi tutafute kupitia + 255655294473, + 255713616109
Je hauna Kazi? Au una mshahara Mdogo? Au unataka kujiongezea kipato cha ziada? Ikiwa umesoma Au hukusoma lakini Una akili ya biashara.
 Uwe mwanaume Au Mama wa nyumbani Hii inakuhusu. Jiunge na #forever living product sasa na uwe Agent wao popote ulipo ambapo utajipatia faida na kipato cha kujitosheleza. Kama una nia na unahitaji kubadilisha maisha yako yawe ya tofauti karibu kwenye semina ya ujasirilia mali itakayofanyika VICTORIA HOTEL BUKOBA siku ya tarehe 25/10/2014 kuanzia saa kumi jioni mpaka saa kumi na mbili. Hakutakua na kiingilio, kwa maelezo zaidi piga no zifuatazo 0713616109, 0655294473.
 
ARGI+ ni bidhaa yenyewe L- Arginine na vitamin complex husaidia mishipa ya damu kufunguka nakutoa uchafu ulioganda (cholesterol) nakusaidia damu kusafiri vizuri sehemu mbalimbali za mwili na hii husababisha 1. Ufanisi wa kazi za moro 2. Kurekebisha na kujengeka kwa mifupa na kazi za misusing 3. Kuboresha hamu ya tendo la ndoa na nguvu za kiume 4. Kusafisha sumu mwilini 5.kupunguza kasi ya uzee. 
Tutafutene kupitia +255713616109, +255655294473
Next Post Previous Post
Bukobawadau