Bukobawadau

WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUTOKA UBELIGIJI WATEMBELEA MKOA WA PWANI KUBAINI FURSA ZA BIASHARA NA UWEKEZAJI

Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Mwantumu Mahiza (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyabiashara na Wawekezaji kutoka Ubeligiji baada ya kutembelea fursa mbalimbali za biashara na uwekezaji zilizo Mkoa wa Pwani. Balozi wa Tanzania Ubeligiji anaongoza ujumbe huo.
Next Post Previous Post
Bukobawadau