Bukobawadau

BALOZI KAMALA AKABIDHI JEZI ZA MCHEZO WA MPIRA WA MIGUU TIMU ZA VIJANA WA TANZANIA UBELIGIJI

Balozi wa Tanzania in Ubeligiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa timu za vijana wa Tanzania za mpira wa miguu baada ya kuwakabidhi jezi za mchezo wa mpira wa miguu.
Next Post Previous Post
Bukobawadau