Bukobawadau

JOSE & MTESI ISSA WEDDING!!

 
Maharusi Bw. Jose Ledo na Bi Mtesi Issa katika shughuli ya ndoa yao iliyofanyika mwishoni mwa Juma katika hotel ya Ocean Paradise iliyopo katika Kijiji cha Pwani Mchangani ,Zanzibar.
   
Muda mchache baada ya tukio la ndoa wanapata picha mbalimbali kwa ajili ya kumbukumbu.  
Bibi harusi Bi Mtesi Issa katika furaha na Kaka yake pichani ni Mlangira Focas Lutinwa.
Pichani kushoto ni Mr Richard Kahama katika picha na maharusi Mr & Mrs Jose Ledo (katikati)wakifuatiwa na rafiki yao Bi Lulu pichani kulia 
Mlangira Focas Lutinwa  na Mkewe Bi Halima Nsubuga katika picha na maharusi.
 
Matukio ya picha mbalimbambali katika fukwe za hoteli ya kitalii Ocean Paradise
  
Moja kwa moja kutoka katika hoteli yenye hadhi na sifa  ni Ocean Paradise Zanzibar pichani kushoto wanaonekana Maharusi wakipata tui la nazi 
Bi Halima Nsubuga pichani kushoto katika pozi la aina yake..,kulia anaonekana Mme wake Mlangira Focas Lutinwa akimcheck kwa tabasamu pana!
 Siku moja kabla ilifanyika sherehe ya kumuaga Bi Mtesi Issa (Send off Party),Shughuli hiyo ilifanika Jijini Dar es Salaam kwenye Ukumbi wa Danken House – Mikocheni.
 Pichani  anaonekana Mama mzazi 'Omwamikazi'  Apolonaria Lutinwa  akiwa na Mjukuu wake Kelvin Lutinwa.
Shughuli ya Send off Party ilihudhuriwa na ndugu jamaa na marafiki wakiwemo viongozi wa taasisi mbalimbali.
Sehemu ya waalikwa pichani kushoto ni  Eng.Elasto Machume , Mr. Ben Kataruga (katikati) anayefuata ni Mr. Jamal Malinzi
Bi Mtesi Issa akimkabidhi zawadi ya Keki  mmewe mtalajiwa Mspanish Mr.Jose Ledo
Bi Mtesi anapiga maguti kumkabidhi mama zawadi yake ya keki.
Wanapeana mikono ya pongezi na shukrani
Sehemu ya wanafamilia Katika picha ya pamoja na Mama Mzazi wa Bi Mtesi 'Omwamikazi Omwamikazi'  Apolonaria Lutinwa
MUHIMU :BUKOBAWADAU BOG tunafurahia kuwa na uwezo wa kukupa nafasi ya matangazo katika mtandao wetu pia kwa taarifa au shughuli yotote ili kufikia idadi ya watu unaotaka kokote dunia waweza kuwasiliana nasi kupitia namba +255 784 505045,0754 505043,0715 505043 ,0768 397241
Muonekano wa Bi Halima Nshubuga katika Send off Party ya Bi Mtesi
 
BUKOBAWADAU BLOG TUNAWAPA HONGERA MAHARUSI MR & MRS JOSE!!
  Muhimu kwa wale waliotaka nyongeza ya picha zaidi za send off party jiunge nasi kwa ku-like ukurasa wetu wa facebook kupitia hapa>>Bukobawadau Entertainment Media
Next Post Previous Post
Bukobawadau