Waswahili wanasema siku za mwizi 40,hivi ndivyo Polisi walivyo wafanikiwa kutuliza tukio la Ujambazi maeneo ya darajani Zanzibar.
Mmmoja watuhumiwa wa ujambazi katika maeneo ya darajani akiwa chini ya
ulinzi wa Polisi akiwa katika gari waliokuwa kulitumia kwa ujambazi
huo.aina ya Rav4.
Wananchi wakiwa na asira wakiwa katika mtaa wa darajani wa wakishuhudia
jeshi la Polisi Zanzibar kuzima jaribio la ujambazi katika maeneo ya
darajani makonte, na kuwadhibiti majambazi watatu wakiwa katika harakati
za kuvumia katika maeneo hayo kwa kutaka kupora, majambazi wawili
wamekamatwa na mmoja kukimbia
Mtuhumiwa wa ujambazi akiwa ndani ya gari ya Polisi baada ya kupata
kipigo kutoka kwa Wananchi wenye hasira wakati wakiwa katika harakati za
kutaka kukimbia jirani na skuli ya darajani baada ya kutelekeza gari
waliokuwa wakiitumia aina ya Noah.
Gari aina ya Noah linalosadikiwa lilitumika katika tukio la ujambazi
katika maeneo ya darajani likiwa limetelekezwa baada ya watumiwa hao
wakiwa katika harakati za kuwakimbia Askari katika eneo la mbele ya
skuli ya darajani
Wananchi wakishuhudia tukio la kufanyika kwa ujambazi katika maduka ya darajani.
CREDIT : ZANZINEWS.COM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comment:
Post a Comment