Bukobawadau

WAZIRI LUKUVI AMKABIDHI OFISI WAZIRI MHAGAMA

 Waziri  mpya wa Ardhi, Nyumba na Makazi Mhe. William Lukuvi (Mb) (Kulia) ambaye awali alikuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge) akifafanua  jamabo kuhusu masuala ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa   Waziri wa Nchi aliyeteuliwa kushika  wadhifa huo Mhe. Jenesta Mhagama (Mb)  (kushoto ) wakati wa kumkabidhi ofisi, leo, Jijini Dar e es Salaam. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri  mpya wa Ardhi, Nyumba na Makazi Mhe. William Lukuvi (Mb) (mwenye shati) ambaye awali alikuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge)   akiwaeleza wakurugenzi wa Ofisi ya Waziri Mkuu (hawapo pichani)  kuendelea kutoa ushirikiano  wa kutekeleza majukumu ya ofisi hiyo, kwa  Waziri mpya  wa Nchi  ofisi ya Waziri Mkuu  (Sera, Uratibu na Bunge)  Mhe. Jenesta Mhagama (Mb) (katikati)  wakati wa kumkabidhi ofisi, leo, Jijini Dar e es Salaam (anayeandika)  ni Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Regina Kikuli . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Baadhi ya Wakurugenzi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakimsikiliza aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge)  Mhe. William Lukuvi (Mb) ambaye kwa sasa ameteuliwa kuwa Waziri  wa Ardhi, Nyumba na Makazi   ambaye wakati wa kumkabidhi Ofisi aliyeshisha wadhifa huo wa  Waziri  Nchi  ofisi ya Waziri Mkuu  (Sera, Uratibu na Bunge)  Mhe. Jenesta Mhagama (Mb)   wakati wa kumkabidhi ofisi, leo, Jijini Dar e es Salaam. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Regina Kikuli akimhakikishia ushirikiano  Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge)      Mhe. Jenesta Mhagama (Mb) (kushoto ),   wakati wa kumkabidhi ofisi, leo, Jijini Dar e es Salaam, (kulia ) ni Waziri  mpya wa Ardhi, Nyumba na Makazi Mhe. William Lukuvi (Mb) (Kulia) ambaye awali alikuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge)   (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Next Post Previous Post
Bukobawadau