Bukobawadau

AK 47 NDUGU YAKE CHAMELEONE AFARIKI DUNIA!!


 Taarifa kutoka nchini Uganda zinasema kuwa mwanamuziki wa Dancehall nchini Uganda anayefahamika kwa jina la AK47amefariki dunia usiku wa leo baada ya kuanguka akiwa bafuni anaoga. Taarifa zinadai kuwa AK47 amefariki saa 5.30 usiku ya tarehe 16, Machi, 2015 baada ya kukimbizwa katika hospitali ya Nsambya jijini Kampala ambapo taarifa za madaktari zinadai kuwa damu nyingi ilivujia ndani baada ya kuangukia sehemu ya nyuma ya kichwa chake.  
Kupitia ukurasa wake wafacebook  haya ndiyo maneno ya Msanii Jose Chameleone  kuhusu msiba huu:DEATH ANNOUNCEMENT!Death has robbed us off Emmanuel Mayanja also known as AK 47. To all our friends May God Give us All strength to stand in such a trying time.
My Brother you have Gone too soon.
RIP
Next Post Previous Post
Bukobawadau