Bukobawadau

MANENO YA LEMUTUZ KUHUSU KAMBI YA EDO

LE MUTUZ LIVE STRAIGHT TALK:- morning guys kuna wanaotafsiri kwamba namchukia mgombea wao kumbe Mimi ninakata FACTS mti wenye matunda ndio unaorushiwa mawe
so wafuasi wake jifunzeni hoja the FACT is a leading Candidate supposedly hawezi kuogopa Debate infact yeye ndiye aliyetakiwa kupigania Debate ziwe nyingi kusudi Taifa tumuelewe vizuri kwamba Hakuiba Richmond kulikuwa na njama za kutaka cheo chake ndio maana aliwaachia good now asimame kwenye debate atuhakikishie kwamba akipata Uraisi akishambuliwa tena na wanaotaka cheo chake hatajiuzulu kama alivyofanya kwenye Uwaziri Mkuu! hahahah....

Mgombea wenu aidha ana washauri wabovu au yeye mwenyewe ni mburulazzzz maana imagine Rais mtarajiwa anasimama mbele ya wananchi anaotaka kuwaongoza anasema "kama kuna mtu ndani ya CCM hanitaki aondoke" really? huyu akishika Urais kwa kauli shallow kama hii wasiomuunga Mkono watafanya nini si itabidi waondoke Tanzania?...halafu a leading candidate anamsimamisha Mchungaji ambaye ana kashfa za ajabu katika Jamii halafu Mchungaji naye anarudia kauli za Taarabu kwamba "asiyemtaka mgombea yule akale malimao"

Ingekuwa Majuu hii kampeni ingeisha pale pale maana media ingemzika mgombea mzima mzima....now watu wenye AKILI KUBWAZZ tunapojaribu kuwafahamisha hiyo kambi kwamba haya ni makosa makubwa sana kisiasa na ni dalili tosha kuwa mgombea wenu HAFWAI wanaanza kulia lia na personal attacks Mimi ninachambua tu FACTS at the table...narudia tena hiyo kambi aidha INA washauri wabovu au mgombea mwenyewe ni BOGUS cause siku ya kwanza ya kampeni unawaweka mbele Viongozi kama Mama Tibaijuka? So hii ni kambi inayokumbatia mediocres guys kuna wakati Mama Clinton kwenye kampeni ya urais ilibidi amfiche Mumewe baada ya kuropoka South Carolina kuwa Obama alitakiwa kumpikia kahawa na ikaishia kum cost kura za weusi...hiyo kambi mnanisikitisha sana mnaponilalamikia kwa ajili ya umburulazzz wenu wenyewe JIPANGENI mazafantazzz hahaha! - le Mutuz
Next Post Previous Post
Bukobawadau