Bukobawadau

YANINI KUWATAJATAJA MBELE ZAKE??

Inasumbua sana moyo pale ambapo mpenzi wako kila mkiongea au kila akikukosoa anakulinganisha na mpenzi au wapenzi wake wa zamani, utaskia anasema "hata nanihii niliachana naye kwa tabia hiyohiyo" hivi kama unataka kumrekebisha mwenzako lazima umtajie hao wapenzi wako wa zamani??? Kama hawajakutoka moyoni mbona umeanza mapenzi mengine? We fahamu kwamba mwenzako anaumia - Chris Mauki.
Next Post Previous Post
Bukobawadau