DK.
VENANT MBONEKO wa Upanga ,Dar es Salaam anasikitika kutangaza kifo cha Mdogo
wake FRED MBONEKO kilichotokea hospitali ya Kairuki Dar es salaam usiku wa
kuamkia jana
Mazishi yanatarajiwa kufanyika siku ya Ijumaa tarehe 24 July
2015,Nyumbani Kijijini Kigalama Kanyigo - Bukoba .
Habari ziwafikie Omulangira Daudi Mboneko,Omwana Maria Mboneko,Omulangira
Alkard Kataruga ,Omwana Foroda Rutinwa ,ndugu, jamaa na marafiki wote wa
familia
"Bwana alitoa, Bwana ametwaa, jina lake na lihimidiwe."
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comment:
Post a Comment