Bukobawadau

OFISI YA WAZIRI MKUU KATIKA USIMAMIZA WA SHUGHULI ZA SERIKALI-MAONESHO YA NANE NANE 2015 DODOMA

Maafisa Utumishi Ofisi ya Waziri Bi.Ernajoyce P. Hallo (wa kwanza kushoto) na katikati ni Bi.Faith S. Lazaro wakisikiliza maoni ya Bw.Edward Osca Sodani kuhusu uboreshwaji wa huduma za serikali kwa jamii alipotembelea Idara ya Uratibu wa Shughuli za Serikali wakati wa maonesho ya Nane Nane yanayoendelea Mjini Dodoma  tarehe 5 Agosti, 2015 .(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Mchumi Mkuu Idara ya Maendeleo ya Sekta Binafsi, Uwekezaji na Uwezeshaji, Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Girson L. Ntimba akifafanua jambo kwa mmoja wa wananchi wa Dodoma alipotembelea Idara hiyo kujua masuala ya uwekezaji wakati wa maonesho ya Nane Nane tarehe 5 Agosti, 2015.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Next Post Previous Post
Bukobawadau