Katika harakati hizo maarufu kama (Operation Tokomeza Ukawa ) Ndugu Samuel amemuombea kura Mgombea Urais wa CCM Dk Magufuli na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Nkenge Balozi Dk. Diodorus Buberwa Kamala pamoja na Diwani mtarajiwa kata ya Bwanjai Bw.Dickson Mwesiga.
Baadhi ya Wananchi na WanaCCM wakimsikiliza mpambanaji Uncle Samuel Lugemalila
Uncle Samuel Lugemalila katika Ubora wakekatika kucheza Ngoma ya hasili
Mamcho ya wananchi yakimtamaza Uncle Samuel Lugemalila meneja wa (Magufuli CLUB) Jimboni Nkenge wakati akiendelea kushambulia jukwaa kwa burudani ya Ngoma ya hasili
0 comment:
Post a Comment