Bukobawadau

UTEUZI WA KAIMU MKURUGENZI MKUU WA SHIRIKA LA TAIFA LA HIFADHI YA JAMII (NSSF)

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dkt. Carina Wangwe akifafanua  jambo  kwa wajumbe wa bodi wa shirika hilo (hawapo pichani ) mara baada ya kuteuliwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Wenye Ulemavu), Jenista Mhagama leo tarehe 03 Machi, 2016.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Wenye Ulemavu), Jenista Mhagama akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dkt. Carina Wangwe mara baada baada yakuteuliwa leo tarehe 03 Machi, 2016 (Katikati) ni Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi na Ajira), Eric Shitindi.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Ajira na Wenye Ulemavu), Jenista Mhagama akiendesha kikao cha Menejimenti ya  Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF leo tarehe 03 Machi, 2016 wakati alipomteua  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Dkt. Carina Wangwe.

Next Post Previous Post
Bukobawadau