Bukobawadau

UCHIMBAJI WA KISIMA CHA MAJI GERA

Mjini Bukoba , hivi ndivyo yanavyowasili Magari ya Kampuni Master Drilling& Exploration Ltd wachimbaji wa Visima vya Maji,kwa ajili ya Mradi mkubwa wa Maji unao endelea katika Kata ya Gera chini ya Shirika lisilokuwa la Serikali la Jambo Bukoba.
Hapa ni maeneo ya Kyakailabwa.

Safari ya kuelekea Kijijini Gera hii ni barabara ya Kyakailabwa.
Mr Rahym akifuatilia hatua kwa hatua.
Mlima wa Katoma

Wakazi wa Gera katika mapokezi ya awali mara baada ya magari ya kuchimba mradi wa maji kuwasili Kijijini hapo
Katikati ya Center ya kata hii ya Gera
Gari likielekea Kashabya moja kati ya Vijiji vinne vinavyounda kata ya Gera
Njia panda kuelekea Kashambya
Omukitoma Bugandika kuelea Gera
 Changamoto ya barabara ya Kashambya Gera

Hapa tayari tupo Kituo cha Afya cha Jambo Bukoba kilichopo Gera


Tayari Magari yapo eneo la tukio

Jengo la Mradi wa kituo cha Afya Gera
Diwani wa Kata ya Gera, Ndugu Bitegeko akibadilishana Mawazo na Mr Rahym juu ya mradi huu mkubwa kufanyika ndani ya kata ya Gera ,mradi huo wa Maji utaweza kuwanufaisha wananchi 4098 wakazi wa kata hii na wengine zaidi kutoka maeneo mbalimbali.
Mkazi wa Gera akifuatilia hatua kwa hatua kila kinachojiri
Ndugu Alex na Shumbu wakifuatilia kinachoendelea
Maswala ya SET UP yakiendelea
Kila tukio linanaswa kwa ajili ya kuweka sawa Kumbukumbu




Uchimbaji Kisiwa ukiendelea.

Vumbi likitimuka ardhini kwa kasi ya ajabu



Shughuli ikiendelea chini ya Uangalizi makini kutoka kwa Mr. Rahym
Sasa Alhamdulillah!! kwa hatua hii Ashukuriwe mungu wetu baba...!


Wafanyakazi wakiendelea kuwasibika

Muendelezo wa Matukio Day 1.


Ndg Mahipal mfanyakazi wa Kampuni ya Uchimbaji visima vya maji ya Master Drilling& Exploration Ltd
Maji yanaendelea kutoka Chini ya ardhi ikiwa ni hatua ya awali DAY 1.
Anawasili eneo la tukio Mdau Paul Rwechungura
Mdau Paul Rwechungura akifurahia hatua inayoendelea katika shughuli nzima ya mradi huu
Day 2. Asubuhi na mapema shughuli ikiendelea hatua kwa hatua...
Muendelezo wa matukio siku ya pili Jumapili April 11,2016 kuelekea hitimisho
Hatua muhimu sana ya kupump maji






NEHEMA ya maji tayari imepatiana.....

Maji safi meupe yakiendelea kutoka
Mashuhuda wa tukio zima
Day 2, pichani Mr Rahym akitolea jambo ufafanuzi kwa Mh. Diwani Bitegeko
Muonekano wa Sehemu ya Kisima cha Maji.



Next Post Previous Post
Bukobawadau