Bukobawadau

NAIBU SPIKA ACKSON AFUNGUA SEMINA KWA WABUNGE YA UELEWA WA HAKI ZA WATU WENYE ULEMAVU

 Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Wenye Ulemavu), Dk Abdallah Possi (kulia), akiwasilisha mada katika semina ya Wabunge kukuza na kuimarisha usawa wa watu wenye ulemavu nchini, kwenye Ukumbi wa Bunge wa Msekwa mjini Dodoma jana. Kutoka kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Bukene, Seleman Zedi (CCM) na Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson akifungua semina hiyo

 Baadhi ya wabunge wakihudhuria kwenye semina hiyo

 Zedi akiongoza majadiliana wakati wa semina hiyo


Next Post Previous Post
Bukobawadau