Bukobawadau

SAKATA LA RAY C KUCHUKULWA NA POLISI

Usiku wa June 16 kuamkia June 17 kuna video ya mwimbaji wa Bongofleva Ray C ilisambaa mitandaoni na kila mmoja kuzungumza habari tofauti kuhusu clip video hiyo, wapo waliosema Ray C kapata kichaa na mambo mengine mengi tu, nakusogezea mambo 4 ya kufahamu kuhusu Ray C baada ya kusambaa kwa video clip na yeye kuchuliwa na Polisi.
1- Polisi wamesema hawakumkamata Ray C bali walimpeleka hospitali kupatiwa matibabu
2- Ray C amepimwa hospitali wala hana kichaa ni mzima ana akili timamu.
3- Mkurugenzi wa uzalishaji na utafiti Clouds Media Ruge Mutahaba amethibitisha kuwa June 17 Ray amepelekwa Rehab Bagamoyo.
4- Rehab aliyopelekwa Ray C ni Bagamoyo mkoa wa Pwani, Rehab ambayo aliwahi kuishi Chid Benz wiki tano zilizopita
Tumuombee Ray C hakuna kinacho shindikana kwa Mungu.
Next Post Previous Post
Bukobawadau