Bukobawadau

'THE LIQUID LOUNGE' PRE OPENING EVENTS

'Amsha amsha' ya Kiwanja kipya Mjini Bukoba 'The Liquid Lounge' kufanyika alhamisi ya wiki hii June 23 na ufunguzi rasmi utakaofanyika baada ya Sikukuu ya Idd
Hakika..hii inakuhusu wewe mdau wa Bukoba na maeneo ya jirani!!
Next Post Previous Post
Bukobawadau