Bukobawadau

CHADEMA WASITISHA MAANDAMANO YA (UKUTA)

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA Mh.Freeman Mbowe amesitisha shughuli za maandamano zilizokuwa zimepewa jina la (UKUTA) kwa Muda wa mwezi mmoja baada ya kuombwa na viongozi wa Dini na taasisi Mbalimbali, ambapo maandamano hayo yalitarajiwa kufanyika Septemba mosi nchi nzima.
Next Post Previous Post
Bukobawadau