Bukobawadau

MJINI BUKOBA :MASHINDANO YA POOL TABLE YA NANE NANE KUFANYIKA LEO NEW COFFEE TREE HOTEL

Mashindano ya Pool Table ya Nane nane (“88” Pool Competition 2016) yanatalajia kufanyika leo Jumatatu Aug 8 @New Coffee Tree Hotel kuanzia majira ya Saa 8 Mchana. Wadau wa pooltable mnakaribishwa sana kushuhudia mchezo wa leo utakao wakutanisha wachezaji wakali wenye uwezo wa kutoa kichapo vizuri tu!!
Chini ya Udhamini wa Mkurugenzi wa KCC ,New Coffee Tree Hotel na Bukobawadau Media

 Mr. Rama na Mr Matete katika hili na lile
 Mdau Steven Porotas pichani kulia katika hali ya sintofahamu
Pichani kshoto ni Mchungaji anayewaza kuyaaga mashindano hayo mapema...
 Wadau wa pooltable mnakaribishwa sana kushuhudia mchezo wa leo utakao wakutanisha wachezaji wakali wenye uwezo wa kutoa kichapo vizuri tu!!
Chini ya Udhamini wa Mkurugenzi wa KCC ,New Coffee Tree Hotel na Bukobawadau Media

 Coffee Tree hoteli inatoa huduma nzuri ya vyumba vya kulala kwa mtu mmoja mmoja, wawili wawili au zaidi,Vyumba vyake vinatazama mandhari nzuri ya milima ya Kashura.
Taswira mbalimbali muda mchache kabla ya mashindano hayo kuanza rasmi mchana wa leo Aug 8,2016
Mgahawa wa Coffee Tree hoteli unaoitwa hutoa huduma ya vyakula mbalimbali, vinavyotolewa ama ndani au nje kwenye eneo la wazi lenye hewa safi na upepo mzuri utokao milimani na ziwani Huduma katika mgahawa huu ni pamoja na kifungua kinywa, chakula cha mchana na jioni/usiku. Vyakula hivi ni vya mapishi ya Kiafrika, Kihindi, Kichina, Kimataifa,
na vinginevyo vya kimataifa ambavyo hutayarishwa na wapishi wataalamu katika jiko lenye vifaa mbalimbali vya kisasa.
Next Post Previous Post
Bukobawadau