RAIS DKT. MAGUFULI AANZA ZIARA YAKE MKOANI MWANZA

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia
wanakwaya wa UWT Kisima cha maji Chumvi mara baada ya kuhutubia wakazi wa
Sengerema mkoani Mwanza.

Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaagana na wakazi
wa Sengerema mkoani Mwanza mara baada ya kumaliza kuwahutubia.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiaagana na wakazi
wa Sengerema mkoani Mwanza mara baada ya kumaliza kuwahutubia.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa Busisi wakati akielekea Mwanza.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ndani ya
kivuko cha MV. Misungwi wakati akielekea mkoani Mwanza.
PICHA NA IKULU