Bukobawadau

MAMA JANETH MAGUFULI:JITOKEZENI KUSAIDIA WAZEE.


Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mama Janeth Magufuli akisalimiana na viongozi wa mkoa mara baada ya kuwasili mkoani Morogoro kwa ajili ya ziara ya kikazi ya kutembelea vituo vya kulea wazee na watu wasiojiweza vya Chazi na Fungafunga vyote vilivyopo Mkoani huko.

Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mama Janeth Magufuli akisaini kitabu cha wageni Ikulu Ndogo Mkoani Morogoro.

Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mama Janeth Magufuli akisalimiana na baadhi ya watoto alipofika kutembelea makazi ya Kulea Wazee na watu wenye mahitaji maalum ya Fungafunga yaliyopo Manispaa ya Morogoro.

Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mama Janeth Magufuli akisaini kitabu cha wageni alipofika katika makazi ya Kulea Wazee na watu wenye mahitaji maalum ya Fungafunga yaliyopo Manispaa ya Morogoro.