Bukobawadau

BALOZI KAMALA AHUDHURIA KAMATI TENDAJI YA KIBUNGE KUHUSI SHIRIKISHO LA BIASHARA DUNIANI (WTO)- BRUSSEL

Mbunge wa Jimbo la Nkenge Mhe. Balozi Dr. Diodorus Buberwa Kamala (kulia) akishiriki kikao cha 38 Kamati Tendaji Kuhusu Shirikisho la Biashara Duniani. Kikao hicho kimefanyika Brussels - Ubeligiji kufanya tathimini ya mwenendo wa biashara na uwekezaji Duniani. Bunge la Tanzania limeteuliwa hivi majuzi kuungana na nchi 21 zinazounda Kamati Tendaji ya Kibunge Kuhusu Shirikisho la Biashara Duniani.
Next Post Previous Post
Bukobawadau