Askofu
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dkt. Fredrick Shoo akimsomea
mstari wa Biblia kutoka kitabu cha Yeremia 17: 7-8 kabla ya kumuombea Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Ibada ya
Jumapili katika kanisa hilo mjini Moshi mkoani Kilimanjaro.
Askofu
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dkt. Fredrick Shoo akimkabidhi zawadi ya Msalaba Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kumuombea yeye
pamoja na waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania mjini Moshi
mkoani Kilimanjaro.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiubusu msalaba
huo aliopewa na Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dkt.
Fredrick Shoo katika Kanisa la KKKT Usharika wa Moshi mjini.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiimba nyimbo
pamoja na Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dkt. Fredrick
Shoo kabla ya kufungwa kwa ibada katika
sehemu ya nje ya Kanisa la KKKT Usharika wa Moshi mjini mkoani Kilimanjaro.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na
Askofu Mstaafu Erasto Kweka mara baada ya Ibada katika Kanisa la KKKT Usharika
wa Moshi mjini mkoani Kilimanjaro.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha
ya pamoja na Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dkt.
Fredrick Shoo, Askofu Mstaafu Erasto Kweka, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Said
Meck Sadik, Waziri kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera Bunge, Ajira,na wenye
wenye
ulemavu
Jenista Mhagama mara baada ya Ibada
katika Kanisa la KKKT Usharika wa Moshi mjini mkoani Kilimanjaro.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Askofu
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Dkt. Fredrick Shoo mara baada
ya Ibada katika kanisa la KKKT mjini Moshi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Askofu
Mstaafu Erasto Kweka mara baada ya kumalizika kwa Ibada katika kanisa la KKKT
mjini Moshi mkoani Kilimanjaro.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo
wakati alipokuwa akiagana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri
Tanzania Dkt. Fredrick Shoo mara baada ya Ibada katika kanisa la KKKT mjini
Moshi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiimba nyimbo
pamoja na waumini wengine katika ibada ya jumapili katika Kanisa la KKKT mjini
Moshi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na
waumini wa Kanisa la Kiaskofu, Jimbo Katoliki la Moshi ,Parokia ya Kristo Mfalme.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo
na Baba Askofu wa Kanisa la Kiaskofu,
Jimbo Katoliki la Moshi ,Parokia ya
Kristo Mfalme Askofu Isaac Amani katika ibada ya jumapili kanisani hapo.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika ibada
ya jumapili katika Kanisa la Kiaskofu,
Jimbo Katoliki la Moshi ,Parokia ya
Kristo Mfalme.
Baba
Askofu wa Kanisa la Kiaskofu, Jimbo
Katoliki la Moshi ,Parokia ya Kristo
Mfalme Askofu Isaac Amani akimuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli katika Kanisa la
Kiaskofu, Jimbo Katoliki la Moshi
,Parokia ya Kristo Mfalme.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na waumini
pamoja na viongozi wa Kanisa la
Kiaskofu, Jimbo Katoliki la Moshi
,Parokia ya Kristo Mfalme. PICHA NA IKULU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comment:
Post a Comment