Bukobawadau

KWA SAFARI ZA MWANZA BUKOBA TUMIA 'FRESTER BUS' NI MABASI MAZURI YENYE LUXURY

 Habari njema kwa wakazi wa Kagera na Kanda ya ziwa,kampuni ya mabasi ya FRESTER ROAD WAYS' imeanza rasmi safari zake kuelekea Mwanza - Bukoba kwa kuanza na mabasi ya kisasa kabisa kwa kila siku
 Hili ndilo ingizo jipya wiki hii ni kati ya Bukoba - Mwanza kwa kila siku, 'FRESTER' ni mabasi ya kisasa kabisa  yenye reputation nzuri ,Comfort and Luxury.
Kwa ajili ya Booking mjini Bukoba ofisi zipo stendi kuu ya mabasi au kwa mawasiliano 0764016061
 Mwanza - Nyegezi wasiliana nao kupitia  0753905297 /0755048177
Mwanza - Nata  0755440066 , Muleba - Stendi 0787934433
WEWE Abiria na mkazi Bukoba,Kemondo,Muhutwe,Muleba ,Ilemela,Kasharunga, Kibaoni, Magarini, Mganza, Nyamilembe,Chato, Bwanga,Buseresere, Katoro, Geita, Kasamwa, Siima, Sengerema,Nyampanda,Buhongwa,Mwanza na Shinyanga,USIPATE adha ya barabarani daima hepuka usumbufu na ubabaishaji safiri kwa mabasi ya 'FRESTER'
 Kwa huduma za usafiri zenye hadhi ya juu sana Wasiliana nao kupitia nambari 0764016061 Mwanza - Nyegezi wasiliana nao kupitia  0753905297 /0755048177
Mwanza - Nata  0755440066 ,Muleba - Stendi 0787934433
 Muda wa Safari kutoka Bukoba saa 12:30 Asubuhi, saa 2;30 na 3:30 kila siku Asubuhi
Muda wa safari kutoka Mwanza ni saa 12:00 Asubuhi, saa 1:30 na saa 3:00 Asubuhi
Wanaonekana Abiria wakiwa tayari kwa ajili ya safari ya kuelekea Jijini Mwanza
 Muonekano wa ndani wa basi alfajiri ya leo muda mchache kabla ya safari ya kuelekea Mwanza
NOTE:Sasa unaweza kupata habari mpya za uhakika kilahisi zaidi kwa kudownload Application ya Bukobawadau kwenye simu yako kutoka play store GONGA HAPA KUDOWNLOA
Next Post Previous Post
Bukobawadau