Familia ya Mzee Rwechungura wa Kijijini Gera wanasikitika kutangaza kifo cha Mama yao mpendwa Bi Anastazia Kokugonza Rwechungura kilichotokea juzi tarehe 26/12/2017 Nyumbani kwake Gera.Mazishi yanatalajiwa kufanyika tarehe 5/1/2018 baada ya taratibu kukamilika
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi Amina!!
BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA...JINA LAKE LIHIMIDIWE
0 comment:
Post a Comment