Bukobawadau

UMATI WAMZIKA MHANDISI,OMULANGIRA JAMES KIKENYA NYUMBANI KWAKE KITOBO - KIZIBA

 Jeneza lenye mwili wa Mpendwa wetu Mhandisi,Omulangira James Deogratius Kikenya aliyewahi kuwa Meneja Mkuu wa Shirika la  Nyumba la Taifa (NHC) akiwa mzalendo wa kwanza kushika wadhifa huo mnamo mwaka 1965 mpaka 1977.
Wanafamilia wakishiriki Ibada
 Mpaka anamaliza utumishi wake ndani ya shirika la Nyumba Marehemu Mhandisi,Omulangira James Deogratius Kikenya alikuwa ameliwezesha kujenga nyumba 44,000 za gharama nafuu kwa ajili ya watanzania,hivyo aliweza kutekeleza kwa kiwango cha juu jukumu alilopewa na Serikali.

Miongoni mwa miradi aliyoisimamia na kuifanikisha ni pamojs na majengo kadhaa ya Taasisi za Umma kama Magereza,Jeshi la Polisi na Majengo ya Shirika la milipuko na vilipuzi la Mzinga,Morogoro

Endelea kuwa nasi mpaka mwisho wa ukurasa huu kwa mtiriko mzima wa matukio 
Wanakwaya wakiwajibika.
Msafara kuelekea eneo la Ibada ya kumuaga mpendwa wetu  Mhandisi,Omulangira James Deogratius Kikenya.


Mama Sarah Kikenya mjane wa marehemu Omulangira James Kikenya pichani kulia.


 Muendelezo wa matukio ya picha mazishi ya Omulangira Kikenya

 Wanafamilia wakitoa heshima zao za mwisho kwa mpendwa wao Omulangila James Kikenya.
Bi Willielmina Balyagati akitoa heshima za mwisho kwa Babu yake Omulangira James Kikenya.


 Mbunge wa Muleba Kusini Profesa Anna Tibaijuka akitoa neno la kuwafariji wafiwa kama rafiki wa karibu wa familia ya Marehemu mzee wetu na Mama Sarah Kikenya


 Salaam za rambirambi kutoka kwa Mr.Chiefman 
 Bi Jack Kikenya Binti wa Mtoto wa Omulangira James Kikenya akitoa neno la Shukrani
 Neno la shukrani kwa niaba ya familia 
 Mwalimu Omutwale Bocko akitoa neno

 Mazishi ya Omulangira Kikenya Kijijini Kitobo
 Kaka Harlod Baruti akishiriki Ibada ya kumuaga mzee wetu Omulangira James Kikenya.
 Sehemu ya Mapadre walioongoza Ibada ya Mazishi hayo
Muendelezo wa matukio ya picha.
 Jeneza lenye Mwili wa Mpendwa wetu likiingizwa kaburini
 Shada la maua kwa niaba ya Mama yao mzazi Ma Yudes Galiatano
Profesa Anna Tibaijuka akiweka shada la maua
 Watoto wa Marehemu Omulangira James Kikenya wakiweka Shada la maua.
 Baby Sigh akiweka shada la maua
 Mama Sarah Mjane wa marehemu mara baada ya kuweka Shada la maua

 Wawakilishi wa Serikali wakiweka Shada la maua

 Wajukuu wakiweka mashada ya maua
Bi Mercy akiweka shada la maua

 Uncle Majid Kichwabuta akiwafariji wafiwa Omwana Sesi na Mjane Bi Sarah Kikenya
Picha ya pamoja kwa ajili ya kumbukumbu
 Ndugu Side Kikenya na Adv. Lugazia katika picha ya pamoja kwa ajili ya kumbukumbu
#Bukobawadau tunatoa pole kwa familia, ndugu na jamaa waliofikwa na msiba huu mkubwa,Daima Mwenyezi Mungu ampe pumziko la milele mzee wetu
Next Post Previous Post
Bukobawadau