Bukobawadau

PAMELA KOKWENDA ''AMAKULA'' MAHARI DAY - KIKUKWE KANYIGO

Anaitwa Pamela Kokwenda Njumba pichani wakati wa hafla ya kupokea mahari yake iliyotelewa kwa wazazi wake Nyumbani Kijijini Kikukwe -Kanyigo Mkoani Kagera.April 29.2023.


 

Nyumbani kwa Mlangila Michael Njumba pichani kushoto
Mshenga

Muendelezo wa matukio ya picha.

Sehemu ya waalikwa waliohudhuria hafla ya kupokea mahari ya Pamela Kokwenda,Pichani kutoka kushoto Fabian Kalikawe,Titus Bushaija na Bandari Mishani ambao ni marafiki wa familia ya Mlamngila Michael Njumba.
Mc Mshereheshaji wa shughuli hiyo Mc Jerry kutoka jijini Dar es Salaam akiwajibika.
Shamitone_tz akishusha burudani


Muendelezo wa matukio ya picha..
Tukio la kuvalisha pete ya uchumba alama ya upendo kwa wawili hawa ya kwamba wamejizatiti kikamilifu.
 

 
Mtu na mtu wake pichani mara baada ya taratibu za kuvalisha pete ya Uchumba (Engagement Ring)
Furaha kuelekea maisha ya pamoja kiujumla..



..

...Inaendeleaaa.


...


Pongezi zikiendelea..

..





Hakika ni furaha kubwa tukio lililogusa hisia za watu wengi.



 



Next Post Previous Post
Bukobawadau